!!! This is a SiteProxy proxied website, do not enter your personal information. Refer to: https://github.com/netptop/siteproxy for details !!!×
Nenda kwa yaliyomo

Kipali

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kipali
Pāḷi
Lugha
Asili Bara Hindi
Familia za lugha Kihindi-Kiulaya
Kihindi-Irani
Kiaryan
Kimagadhi Prakrit
Māgadhan
Pali-Magadhi
Aina za Awali Kimagadhi Prakrit
Mfumo wa kuandika Dhamma, Devanagari, Kharoṣṭhī, Khmer, Mon-Burma, Thai, Tai Tham, Kisinhala na mwandiko wa Kilatini
Nambari za Msimbo
ISO 639-1 pi
ISO 639-2 pli
ISO 639-3 pli
Glottolog pali1273

Kipali ni lugha ya Kihindi-Kiulaya iliyotumika nchini Uhindi. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kipali iko katika kundi la Kiaryan.

Siku hizi hakuna watu ambao huitumia kama lugha yao ya kwanza lakini bado inafundishwa, hasa huko Sri Lanka, kwa vile ni lugha ya fasihi andishi ya Ubuddha.

Tazama Pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kipali kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno: